Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 15:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Abusaloma alizoea kuamuka asubui mapema na kwenda kusimama kwenye njia inayoelekea kwenye mulango wa muji. Mutu yeyote aliyekuwa na mashitaki ambayo alitaka kuyapeleka kwa mufalme kwa kupata uamuzi wake, Abusaloma alimwita mutu yule pembeni na kumwuliza: “Unatoka katika muji gani?” Kama mutu yule akisema ametoka katika muji fulani wa kabila la Waisraeli,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 15:2
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Hamori na mwana wake Sekemu, wakakwenda kwenye mulango wa muji, pahali pa mikutano, wakaongea na watu wao wakisema:


Sasa, simama uzungumuze na watumishi wako kwa upole. Maana, ninaapa kwa Yawe, kama hauendi kuzungumuza nao, hakuna hata mumoja atakayebaki pamoja nawe leo magaribi. Hili litakuwa jambo baya zaidi kwako kuliko maovu yote yaliyokupata tangu ujana wako mpaka leo.”


Wazee wale wakamujibu: “Ukiwahurumia watu hawa, ukiwafurahisha na kusema nao maneno mazuri, pale watakuwa watumishi wako siku zote.”


Mwuaji anaamuka asubui mapema, kwa kwenda kuwaua wamasikini na wakosefu, na usiku ukifika, kazi yake ni kuiba.


Yetro, baba mukwe wa Musa, alipoona mambo yote ambayo Musa aliwafanyia Waisraeli, akamwuliza: “Kwa nini unawafanyia watu mambo haya? Mbona unaikaa peke yako wakati watu wamekuzunguka tangu asubui mpaka magaribi?”


Wakiwa na ugomvi wowote wao wanakuja kwangu nami ninaamua kati ya mutu na mwenzake na kuwafundisha masharti ya Mungu na maamuzi yake.”


Nao wakakuwa wanaamua matatizo ya watu kila wakati. Matatizo magumu walimuletea Musa, lakini yale madogomadogo waliyatatua wao wenyewe.


Waovu hawalali hata kidogo wasipotenda uovu; hawapati usingizi wasipomukwaza mutu.


Mufalme atakayefuata atakuwa wa kuzarauliwa ambaye asiyeweza kupewa heshima ya kifalme, naye atakuja wakati watu wasiouzania na kunyanganya ufalme kwa werevu.


Kulipokucha, wakubwa wote wa makuhani na wasimamizi wa watu wakakata shauri la kumwua Yesu.


Inawezekana kutatokea mashitaki mengine yanayokuwa magumu ndani ya miji yenu, kama vile maneno yanayoelekea uchafu, mambo ya haki za watu, na hasara ya mwili. Basi, mutaondoka na kwenda pahali Yawe, Mungu wenu alipopachagua,


Boazi akakwenda kwa nafasi ya kufanyia mukutano kule kwenye mulango wa muji, akaikaa chini. Kisha yule ndugu ya Elimeleki ambaye Boazi alikuwa amemutaja, akapita karibu na pale. Boazi akamwita, akasema: “Kuja, uikae hapa ndugu.” Basi yule mutu akakuja na kuikaa pale.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ