Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 15:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Kisha, mufalme Daudi alipomwona Itayi wa Gati, alimwambia: “Kwa nini hata wewe umeondoka pamoja nasi? Rudi ukae na yule mufalme kijana. Maana wewe ni mugeni huku, tena ni mukimbizi kutoka kwenu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 15:19
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wewe ulikuja huku juzijuzi tu. Nikufanye mutu wa kutangatanga pamoja nasi, nikijua kwamba sijui hata kule ninakokwenda? Rudi pamoja na wandugu zako. Naye Yawe akuonyeshe wema na uaminifu.”


Daudi akatuma waaskari wake kwa vita katika vikundi vitatu: sehemu moja ya tatu ikiwa chini ya uongozi wa Yoabu, sehemu ingine ya tatu chini ya uongozi wa Abisayi mwana wa Zeruya, ndugu ya Yoabu; na sehemu ingine ya tatu chini ya uongozi wa Itayi wa muji wa Gati. Kisha mufalme Daudi akawaambia wote: “Mimi mwenyewe vilevile nitakwenda pamoja nanyi.”


Basi Naomi akamwambia: “Ruta, angalia dada yako amerudi kwao na kwa mungu wake; basi, nawe vilevile urudi, umufuate dada yako.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ