2 Samweli 15:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Basi, Daudi akawaambia watumishi wake waliokuwa naye Yerusalema: “Musimame tukimbie, kama sivyo, hatutaweza kumuponyoka Abusaloma. Tufanye haraka kuondoka kusudi asituletee hasara na kuuangamiza muji kwa upanga.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |