2 Samweli 15:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Abusaloma alipokwenda kule Hebroni, alikwenda na watu mia mbili aliowaalika kutoka Yerusalema, nao walikwenda kule kwa nia njema, wala hawakujua kitu chochote juu ya mupango wa Abusaloma. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |