2 Samweli 14:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200233 Kwa hiyo Yoabu akaenda na kumwelezea mufalme maneno hayo yote, naye akamwita Abusaloma. Abusaloma akaingia kwa mufalme, akaanguka uso mpaka chini mbele ya mufalme. Na mufalme akamubusu Abusaloma. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |