2 Samweli 14:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200230 Basi, Abusaloma akawaambia watumishi wake: “Muangalie, Yoabu ana shamba la shayiri karibu na langu. Muende mulichome kwa moto.” Kwa hiyo watumishi wa Abusaloma wakalichoma shamba la Yoabu kwa moto. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |