Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 14:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Basi, Abusaloma akawaambia watumishi wake: “Muangalie, Yoabu ana shamba la shayiri karibu na langu. Muende mulichome kwa moto.” Kwa hiyo watumishi wa Abusaloma wakalichoma shamba la Yoabu kwa moto.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 14:30
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, Abusaloma alimutumia Yoabu ujumbe, kusudi aende kwa mufalme kwa jina lake, lakini Yoabu akakataa. Abusaloma akatuma ujumbe mara ya pili lakini Yoabu akakataa.


Yoabu akaenda kwa Abusaloma akamwuliza: “Kwa nini watumishi wako wamechoma shamba langu?”


Yoabu akamwambia: “Mimi sina wakati wa kupoteza pamoja nawe.” Yoabu akatwaa mikuki midogo mitatu katika mukono wake, akaenda na kumuchoma Abusaloma ndani ya moyo, Abusaloma akiwa angali muzima kwenye tawi la muti wa mwalo.


naye Yehu akawaambia: “Mumutupe chini!” Wakamutupa chini na damu yake ikasambaa juu ya ukuta na kwenye farasi. Yehu akapitisha farasi na gari lake juu ya maiti yake


Samusoni akamwambia: “Mara hii sitakuwa na kosa kwa yale nitakayowatendea Wafilistini.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ