Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 14:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Basi, Abusaloma aliishi Yerusalema kwa muda wa miaka miwili mizima bila kumwona mufalme Daudi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 14:28
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yakobo akamwambia: “Hapana! Kama kweli nimekubaliwa mbele yako, ninakusihi uipokee zawadi yangu. Hakika, kuona uso wako ni kama kuona uso wa Mungu, kwa vile ulivyonipokea kwa wema mukubwa.


Lakini Yuda akamwambia baba yake: “Yule mutu alituonya vikali, akisema: ‘Sitawapokea musipokuja na ndugu yenu mudogo.’


Lakini mufalme akasema: “Abusaloma aishi kwake. Asikuje hapa kuniona.” Kwa hiyo, Abusaloma akakuwa anaishi mbali, kwake na hakumwona mufalme Daudi.


Kisha, Abusaloma alimutumia Yoabu ujumbe, kusudi aende kwa mufalme kwa jina lake, lakini Yoabu akakataa. Abusaloma akatuma ujumbe mara ya pili lakini Yoabu akakataa.


Basi, mufalme Solomono akaagiza Adonia aitwe kutoka katika hema, akuje kwake. Adonia akafika mbele ya mufalme, akainama kwa heshima. Mufalme akamwambia: “Kwenda kwa nyumba yako.”


Halafu mufalme akaagiza Simei aitwe, akamwambia: “Ujijengee nyumba humu Yerusalema, ukae hapa bila kwenda pahali pengine popote.


“Mufanye angalisho, musimuzarau mumoja wa hawa wadogo; kwa sababu ninawaambia kwamba wamalaika wao wanaokuwa mbinguni wako siku zote karibu na Baba yangu anayekuwa mbinguni. [


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ