Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 14:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Yoabu alianguka uso mpaka chini, na kumutakia mufalme baraka, akasema: “Leo, mimi mutumishi wako, bwana wangu mufalme, ninajua kwamba nimepata kukubaliwa mbele yako, kwa kulikubali shauri langu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 14:22
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, Yosefu akamuleta baba yake Yakobo kumwamukia mufalme. Naye Yakobo akamupa mufalme baraka zake.


Lakini Noa akapata kukubaliwa mbele ya Yawe.


Kisha, mufalme akamwambia Yoabu: “Sasa sikiliza, ninakubali shauri lako. Kwenda umurudishe yule kijana Abusaloma.”


Kwa hiyo, Yoabu aliondoka, akaenda Gesuri kumuleta Abusaloma katika Yerusalema.


Huyo mwanamuke kutoka Tekoa akaenda kwa mufalme, akainama uso mpaka chini mbele ya mufalme, akamwambia: “Ee mufalme, unisaidie.”


Mufalme akamwambia: “Kimuhamu atakwenda nami, na nitamutendea lolote unaloona ni zuri. Na lolote utakalotaka nikutendee, nitakutendea.”


Watu wakawasifu wale wote waliokubali kukaa katika Yerusalema.


Kila mutu aliyesikia habari zangu alinitakia heri na aliponiona, alikubali habari zile kuwa kweli.


nilimupa joto kwa nguo za manyoya ya kondoo wangu naye akanitakia baraka za shukrani ya moyo.


Watoto wake wanaamuka na kumushukuru, mume wake anaimba sifa zake.


Siku moja, Ruta wa Moabu akamwambia Naomi: “Muniruhusu niende kukusanya masalio ya mavuno pahali nitakapopata kukubaliwa na mwenye shamba.” Naomi akamwambia: “Basi, uende binti yangu.”


Daudi akaapa vilevile: “Hakika baba yako anajua vizuri kwamba nimepata kukubaliwa mbele yako. Anafikiri kukuficha juu ya jambo hili kusudi usihuzunike atakapolitenda. Lakini kweli, kama Yawe anavyoishi na kama wewe mwenyewe unavyoishi, kati yangu na lufu kuna hatua moja tu!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ