2 Samweli 14:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Kwa hiyo alituma watu kule Tekoa kusudi wamutafutie mwanamuke mwenye hekima. Walipomuleta, akamwambia: “Ujifanye sawa vile mwenye kuwa na kilio. Vaa nguo za kilio, usijipakae mafuta, lakini ujifanye kama mwanamuke ambaye amekuwa katika kilio kwa muda murefu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |