2 Samweli 14:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200217 Nami mujakazi wako nilifikiri hivi: ‘Neno la bwana wangu mufalme litanipa amani ndani ya moyo, maana wewe bwana wangu mufalme ni kama malaika wa Mungu katika kupambanua mazuri na mabaya.’ Yawe, Mungu wako, akuwe pamoja nawe.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |