Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 14:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Maana mufalme atanisikiliza na kuniokoa toka katika mikono ya mutu ambaye anataka kuniangamiza mimi pamoja na mwana wangu kutoka urizi wa Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 14:16
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mimi nimekuja kuzungumuza nawe, bwana wangu mufalme, maana wamenitisha. Basi, mimi mujakazi wako, niliwaza kwamba ni afazali nizungumuze na mufalme, labda atanitimizia mahitaji yangu mimi mujakazi wake.


Mimi ni mumoja wa wale wanaopenda amani na uaminifu katika Israeli. Sasa wewe unakusudia kuuharibu muji ambao ni sawa vile katika Israeli. Kwa nini sasa unataka kuuangamiza muji unaokuwa mali ya Yawe?”


Atamukomboa mukosefu anayemwomba, na masikini asiyekuwa na wa kumusaidia.


Mufalme anaamua kwa maongozi toka kwa Mungu. Anapotoa hukumu hapotoki.


lakini alijiwekea watu wa Yakobo kuwa wake, hao alijichagulia kuwa mali yake.


Basi, sasa bwana wangu mufalme, usikie maneno ya mutumishi wako. Ikiwa Yawe ndiye aliyekuchochea ukuje kunishambulia, basi, apokee sadaka ambayo itamusukuma kubadilisha mawazo yake. Lakini ikiwa ni watu, basi, Yawe awalaani watu hao maana wamenifukuza kutoka urizi ambao Yawe aliotupa wakisema: ‘Kwenda uitumikie miungu mingine.’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ