Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 14:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Yoabu mwana wa Zeruya alitambua kwamba moyo wa Daudi ulikuwa unamwelekea Abusaloma tu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 14:1
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nyuma ya mufalme Daudi kutulia kutokana na kifo cha Amunoni, alianza kutamani kumwona mwana wake Abusaloma.


Kwa hiyo alituma watu kule Tekoa kusudi wamutafutie mwanamuke mwenye hekima. Walipomuleta, akamwambia: “Ujifanye sawa vile mwenye kuwa na kilio. Vaa nguo za kilio, usijipakae mafuta, lakini ujifanye kama mwanamuke ambaye amekuwa katika kilio kwa muda murefu.


Yoabu alipata habari kwamba mufalme alikuwa akilia na kuomboleza juu ya kifo cha Abusaloma.


Kwa hiyo, siku hiyo, watu waliingia katika muji kimyakimya kama watu wanaorudi katika muji wakipata haya kwa kukimbia vita.


Wana watatu wa Zeruya, Yoabu, Abisayi na Asaeli walikuwa pale pale. Asaeli alikuwa na mbio kama paa.


Wadada zao walikuwa Zeruya na Abigaili. Wana wa Zeruya walikuwa watatu: Abisai, Yoabu na Asaheli.


Wengi wanapenda kujipendekeza kwa mutawala, lakini mutu anapata haki yake kwa Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ