Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 13:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Mikate hiyo ilipokuwa tayari, Tamari akaiopoa kutoka kikaango. Akamupelekea Amunoni, lakini Amunoni alikataa kula, akaamuru kwamba watu wote watoke inje, na wote wakaondoka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 13:9
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Yosefu akashindwa kujizuia mbele ya wote waliokuwa pamoja naye, akawaamuru watoke inje. Hivyo Yosefu alikuwa peke yake alipojitambulisha kwa wandugu zake.


Kisha, Amunoni akamwambia Tamari: “Sasa uniletee mikate ile ndani ya chumba changu, halafu unikulishe.” Tamari alitwaa mikate aliyoitayarisha na kuipeleka ndani ya chumba cha kaka yake Amunoni.


Tamari alikwenda kule, akamukuta amelala. Akatwaa unga, akauponda, na kutengeneza mikate mbele ya Amunoni.


Kila mutu anayefanya mabaya anachukia mwangaza, naye anakataa kuja kwenye mwangaza, kusudi matendo yake yasionekane wazi.


Lakini yeye alipofika kwenye sanamu za mawe yaliyochongwa karibu na Gilgali, akamurudilia Mwana-Ngombe akasema: “Nina ujumbe wa siri kwako, ee mufalme.” Mufalme akawaamuru watumishi wakae kimya, nao wakatoka inje.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ