7 Halafu, Daudi alipeleka ujumbe kwa Tamari kwamba aende kwa kaka yake Amunoni, amutengenezee chakula.
Kwa hiyo, Amunoni akaendelea kulala katika kitanda, akijifanya kuwa mugonjwa. Mufalme alipokwenda kumwona, Amunoni alimwambia: “Ninakuomba, Tamari akuje hapa anitengenezee mikate michache mbele yangu. Halafu yeye mwenyewe anikulishe.”
Tamari alikwenda kule, akamukuta amelala. Akatwaa unga, akauponda, na kutengeneza mikate mbele ya Amunoni.
Daudi akajengea nyumba katika muji wa Daudi. Tena akatengenezea Sanduku la Agano nafasi, akalipigia hema.