2 Samweli 13:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Kwa hiyo, Amunoni akaendelea kulala katika kitanda, akijifanya kuwa mugonjwa. Mufalme alipokwenda kumwona, Amunoni alimwambia: “Ninakuomba, Tamari akuje hapa anitengenezee mikate michache mbele yangu. Halafu yeye mwenyewe anikulishe.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |