2 Samweli 13:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Yonadabu akamwambia: “Wewe ujilalishe katika kitanda na ujifanye kuwa mugonjwa. Baba yako atakapokuja kukuona, wewe umusihi ukisema: ‘Umuruhusu dada yangu, Tamari, akuje aniletee mukate nipate kula na anitayarishie chakula mbele yangu kusudi nikione naye mwenyewe anikulishe.’ ” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |