Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 13:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Yonadabu akamwambia: “Wewe ujilalishe katika kitanda na ujifanye kuwa mugonjwa. Baba yako atakapokuja kukuona, wewe umusihi ukisema: ‘Umuruhusu dada yangu, Tamari, akuje aniletee mukate nipate kula na anitayarishie chakula mbele yangu kusudi nikione naye mwenyewe anikulishe.’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 13:5
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yonadabu akamwambia Amunoni: “Wewe ni mutoto wa mufalme, kwa nini unakonda na unaonekana hauna furaha kila siku? Mbona hautaki kuniambia?” Amunoni akamwambia: “Ninamupenda Tamari, dada ya ndugu yangu Abusaloma.”


Kwa hiyo, Amunoni akaendelea kulala katika kitanda, akijifanya kuwa mugonjwa. Mufalme alipokwenda kumwona, Amunoni alimwambia: “Ninakuomba, Tamari akuje hapa anitengenezee mikate michache mbele yangu. Halafu yeye mwenyewe anikulishe.”


Ahitofeli akamwambia Abusaloma: “Ulale na wale wahabara za baba yako ambao aliwaacha kuangalia nyumba yake. Kisha watu wote wa Israeli watakaposikia kwamba umechukizwa na baba yako, hapo watu wote wanaokuwa pamoja nawe watapata nguvu.”


Mwana wangu, ukiacha kusikiliza mafundisho, mara moja utapotea mbali na maneno ya maarifa.


Basi sasa, ninyi pamoja na Baraza Kubwa mumwombe jemadari awaletee Paulo, mukimwambia tu kwamba munataka kuchunguza vizuri zaidi maneno yake. Na sisi tuko tayari kumwua mbele hajafika hapa.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ