Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 13:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Nyuma ya mufalme Daudi kutulia kutokana na kifo cha Amunoni, alianza kutamani kumwona mwana wake Abusaloma.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 13:39
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Isaka akamutwaa Rebeka ndani ya hema iliyokuwa ya mama yake Sara, naye akakuwa muke wake. Isaka akamupenda Rebeka na kupata kufarijika nyuma ya kifo cha mama yake.


Ninajua ulitoroka kwa sababu ya hamu kubwa ya kurudi katika nyumba ya baba yako. Lakini kwa nini uliiba sanamu za miungu yangu?”


Watoto wake wanaume na wanawake wakamufikia kwa kumufariji, lakini akakataa kufarijiwa, akisema: “Uniache. Nitaendelea kuomboleza kwa ajili ya mwana wangu, mpaka nitakaposhuka katika kaburi.” Ndivyo baba yake alivyomulilia.


Nyuma ya muda, binti ya Sua, muke wa Yuda, akakufa. Yuda alipomaliza kufanya kilio akaondoka na rafiki yake Hira Mwadulami, wakakwenda Timuna kwa kukata manyoya ya kondoo wake.


Yoabu mwana wa Zeruya alitambua kwamba moyo wa Daudi ulikuwa unamwelekea Abusaloma tu.


Roho yangu inaugua kwa hamu kubwa ya kutaka kujua siku zote maamuzi yako.


Ee Yawe wa majeshi, kweli makao yako yanapendeza!


Watoto wenu wanaume na wanawake watatolewa kwa watu wengine nanyi mutakodoa macho muchana kutwa kuwatazamia warudi, lakini hamutakuwa na nguvu ya kufanya chochote.


Yeye yuko na hamu sana kuwaona ninyi wote, naye anahuzunika sana kwa sababu mulisikia kwamba alikuwa mugonjwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ