Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 13:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 Mara moja yule mutumishi alipomaliza kusema, wana wa mufalme wakaingia, wakaanza kulia kwa sauti. Mufalme na watumishi wake wote, wakalia kwa uchungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 13:36
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu watumishi wake wakamwuliza: “Ni jambo gani hili ulilofanya? Mutoto alipokuwa muzima, wewe ulifunga na kumulilia. Lakini alipokufa, ukasimama, ukakula chakula.”


Kisha, Amunoni akamuchukia Tamari kupita kipimo. Akamuchukia Tamari kuliko alivyomupenda zamani. Akamwambia Tamari: “Simama ondoka mara moja.”


Yonadabu akamwambia Daudi: “Angalia mufalme, wana wako wanakuja kama nilivyokuambia mimi mutumishi wako.”


Lakini Abusaloma alikimbilia kwa Talmayi mwana wa Amihudi, mufalme wa muji wa Gesuri. Mufalme Daudi akamufanyia mwana wake Amunoni kilio kwa siku nyingi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ