Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 13:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Lakini Yonadabu mwana wa Simea, ndugu ya Daudi akamwambia: “Bwana wangu, usifikiri kwamba wana wako wote wameuawa. Amunoni pekee ndiye aliyeuawa. Abusaloma alikusudia kuyafanya mambo haya tangu wakati ule Amunoni alipomukamata dada yake Tamari kwa kinguvu na kulala naye.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 13:32
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Esau akamuchukia Yakobo kwa sababu ya baraka aliyokuwa amepewa na baba yake. Esau akawaza: “Siku za kilio cha baba zitakapokwisha, ndipo nitakapomwua ndugu yangu Yakobo.”


Lakini Amunoni alikuwa na rafiki aliyeitwa Yonadabu, mwana wa Shama, ndugu ya Daudi. Yonadabu alikuwa mutu mwerevu sana.


Kwa hiyo, bwana wangu, usifikiri ndani ya moyo wako kwamba watoto wako wote wamekufa. Ni Amunoni pekee ndiye aliyeuawa.”


Atatayarisha silaha zake za hatari, na kuitia mishale yake moto.


Yese akamuleta Shama. Samweli akasema: “Wala huyu hakuchaguliwa na Yawe.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ