2 Samweli 13:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200228 Abusaloma akawaambia watumishi wake: “Mumwangalie Amunoni atakapokuwa amekunywa divai na kufurahi. Nitakapowaambia: ‘Mumupige Amunoni’, mumwue. Hiyo ni amri yangu kwenu. Mujipe moyo na mukuwe hodari.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |