Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 13:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Halafu, Abusaloma akamwambia: “Kama hauendi, basi, umuruhusu ndugu yangu Amunoni tuende naye.” Mufalme akamujibu: “Lakini kwa nini aende pamoja nanyi?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 13:26
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme akamujibu: “Sivyo, mwana wangu, tusiende wote, kusudi tusikuwe muzigo kwako.” Ingawa Abusaloma alizidi kumusihi baba yake aende, lakini mufalme alikataa, lakini alimupa baraka zake.


Lakini Abusaloma alizidi kumusihi, na kwa mwisho mufalme akamuruhusu Amunoni na wana wake wengine waende kwenye karamu hiyo.


Yoabu akamwambia Amasa: “Habari gani ndugu yangu?” Yoabu akamushika Amasa kwenye kidevu kwa mukono wa kuume sawa vile anataka kumubusu.


Abeneri aliporudi Hebroni, Yoabu alimupeleka pembeni kwenye mulango sawa vile anataka kuzungumuza naye kwa siri. Hapo Yoabu akamukata Abeneri katika tumbo kwa sababu Abeneri alikuwa amemwua ndugu yake Asaeli, na Abeneri akakufa.


Mwenzangu amemushambulia rafiki yake, amevunja mapatano yake.


Mwenye chuki anaficha chuki yake kwa maneno mazuri, lakini uovu unajaa ndani ya moyo wake.


Ndimi zao ni kama mishale yenye sumu, hawachoki kudanganya; kila mutu anaongea vema na jirani yake, lakini anafanya mipango ya kumushambulia ndani ya moyo wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ