16 Tamari akamujibu: “Sivyo kaka yangu. Ukinifukuza utafanya ubaya mukubwa zaidi kuliko ule ulionitendea.” Lakini Amunoni hakutaka kumusikiliza.
Kisha, Amunoni akamuchukia Tamari kupita kipimo. Akamuchukia Tamari kuliko alivyomupenda zamani. Akamwambia Tamari: “Simama ondoka mara moja.”
Akamwita kijana wake aliyemutumikia, akamwambia: “Umutoshe mwanamuke huyu mbele yangu. Na ufunge mulango kwa kifungio.”