15 Kisha, Amunoni akamuchukia Tamari kupita kipimo. Akamuchukia Tamari kuliko alivyomupenda zamani. Akamwambia Tamari: “Simama ondoka mara moja.”
Lakini Amunoni hakutaka kumusikiliza na kwa sababu alimushinda nguvu, akamukamata, akalala naye.
Tamari akamujibu: “Sivyo kaka yangu. Ukinifukuza utafanya ubaya mukubwa zaidi kuliko ule ulionitendea.” Lakini Amunoni hakutaka kumusikiliza.
Basi, Wababeli wakamwendea katika kitanda cha mapenzi. Wakamuchafua kwa njia ya tamaa zao mbaya. Alipokwisha kujichafua, akajitenga nao.