2 Samweli 13:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Lakini Amunoni hakutaka kumusikiliza na kwa sababu alimushinda nguvu, akamukamata, akalala naye. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kisha mufalme akarudi kutoka katika bustani, na mara alipoingia ndani ya chumba walimokuwa wanakunywa divai, akamukuta Hamani amejitupa karibu na kiti ambamo Esteri alikuwa ameikaa. Kuona hivyo, mufalme akasema kwa sauti kubwa: “Hivi mutu huyu anataka kumushika kwa nguvu malkia mbele yangu, tena ndani ya nyumba ya kifalme?” Mara tu mbele mufalme hajamaliza kusema, matowashi wakamufunika Hamani uso.