2 Samweli 12:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200230 Kisha akatwaa taji ya mufalme wao kutoka kwenye kichwa chake. Uzito wa taji hiyo ya zahabu ulikuwa kilo makumi tatu na tano; na ndani yake mulikuwa jiwe la bei kali. Naye Daudi akavalishwa taji hiyo kwenye kichwa chake. Vilevile aliteka vitu vingi sana katika muji ule. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kisha Daudi akatwaa taji ya mufalme wao kutoka juu ya kichwa chake, naye akagundua kwamba taji hiyo ilikuwa na uzito wa kilo makumi tatu na tano za zahabu na ndani yake mulikuwa jiwe la bei kali. Daudi akavikwa taji hiyo juu ya kichwa chake. Vilevile alinyanganya vitu vingi sana kutoka katika muji ule.