Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 12:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Lakini yule masikini alikuwa na mwana-kondoo mudogo mumoja dike, ambaye alikuwa amemununua. Alimutunza, naye akakomaa katika nyumba yake pamoja na watoto wake. Alimukulisha mwana-kondoo yule chakula kilekile kama chake na kunywea kwenye kikombe chake naye vilevile alikuwa akimukumbatia kwenye kifua. Mwana-kondoo yule alikuwa kama binti kwa yule mutu masikini.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 12:3
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi akatuma mutu kuuliza mwanamuke yule ni nani. Mutu yule akamwambia Daudi: “Mwanamuke yule ni Batiseba binti ya Eliabu, na muke wa Uria wa Hiti.”


Yule tajiri alikuwa na kondoo wengi na ngombe wengi.


Siku moja, yule tajiri alifikiwa na mugeni. Basi, tajiri yule hakutaka kukamata kondoo mumoja kati ya kondoo wake mwenyewe au ngombe wake, amuchinjie mugeni wake, lakini alikwenda na kumunyanganya yule masikini mwana-kondoo wake, akamuchinjia mugeni wake.”


Usimwaminie mwenzako, wala usimutumainie rafiki yako. Chunga mudomo wako, usimwambie kitu muke wako wewe mwenyewe.


Lakini nabii huyo au mutabiri wa kutumia ndoto atauawa, kwa sababu atakuwa amewafundisha uasi mbele ya Yawe, Mungu wenu, aliyewatoa katika inchi ya Misri na kuwakomboa kutoka katika utumwa, kusudi muache njia ambayo Yawe, Mungu wenu, aliwaamuru kufuata. Hivi ndivyo mutakavyokomesha uovu kati yenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ