28 Sasa uwakusanye watu wote waliobaki, upige kambi kwa kuuzunguka na kuuteka. Kama sivyo, nikiuteka, utaitwa kwa jina langu.”
Yoabu akatuma ujumbe kwa Daudi: “Nimeushambulia muji wa Raba, nami nimekikamata kisima chao cha maji.
Kwa hiyo, Daudi akakusanya watu wote, akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka muji ule.
Mutu anayesema kwa mamlaka yake mwenyewe, anajitafutia sifa yake mwenyewe. Lakini yeye anayetafuta sifa ya yule aliyemutuma, huyu ni mwenye ukweli wala hana ubaya wowote.