Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 12:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Yoabu akatuma ujumbe kwa Daudi: “Nimeushambulia muji wa Raba, nami nimekikamata kisima chao cha maji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 12:27
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ilipokuwa kwa mwanzo wa mwaka mupya, wakati ambapo wafalme wanaenda kwa vita, Daudi alimutuma Yoabu na wakubwa wake pamoja na waaskari wote wa Israeli kupigana. Nao waliteka Waamoni na kushambulia muji wa Raba. Lakini Daudi alibaki Yerusalema.


Wakati ule, Yoabu aliushambulia Raba muji wa Waamoni, naye akauteka muji ule wa kifalme.


Sasa uwakusanye watu wote waliobaki, upige kambi kwa kuuzunguka na kuuteka. Kama sivyo, nikiuteka, utaitwa kwa jina langu.”


Kwa hiyo wamevunjika moyo na wengi wanaanguka. Nimeiweka chongo ya upanga katika milango yao yote. Umefanywa uangae kama umeme, umengarishwa kwa ajili ya mauaji.


(Mufalme Ogi ndiye peke yake aliyebakia kati ya Warefai. Kitanda chake kilichotengenezwa kwa chuma, kilikuwa na urefu wa metre ine na upana wa karibu metre mbili. Kitanda hicho kipo katika muji wa Waamori wa Raba.)


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ