2 Samweli 12:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Yule tajiri alikuwa na kondoo wengi na ngombe wengi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini yule masikini alikuwa na mwana-kondoo mudogo mumoja dike, ambaye alikuwa amemununua. Alimutunza, naye akakomaa katika nyumba yake pamoja na watoto wake. Alimukulisha mwana-kondoo yule chakula kilekile kama chake na kunywea kwenye kikombe chake naye vilevile alikuwa akimukumbatia kwenye kifua. Mwana-kondoo yule alikuwa kama binti kwa yule mutu masikini.