Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 12:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Yule tajiri alikuwa na kondoo wengi na ngombe wengi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 12:2
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi Yawe akamutuma nabii Natani kwa Daudi. Natani alimwendea Daudi, akamwambia: “Kulikuwa wanaume wawili katika muji mumoja. Mumoja alikuwa tajiri na mwingine alikuwa masikini.


Lakini yule masikini alikuwa na mwana-kondoo mudogo mumoja dike, ambaye alikuwa amemununua. Alimutunza, naye akakomaa katika nyumba yake pamoja na watoto wake. Alimukulisha mwana-kondoo yule chakula kilekile kama chake na kunywea kwenye kikombe chake naye vilevile alikuwa akimukumbatia kwenye kifua. Mwana-kondoo yule alikuwa kama binti kwa yule mutu masikini.


Nilikupa nyumba ya bwana wako na wake zake wakuwe wako, tena nikakupa watu wa Israeli na wa Yuda uwatawale. Na kama haya yangekuwa kidogo sana kwako ningekuongezea mara mbili zaidi ya hayo.


Basi, mufalme akaondoka pamoja na jamaa yake, lakini akawaacha wahabara wake kumi wakishugulika na kazi za nyumba.


Alikuwa na mali, kondoo elfu saba, ngamia elfu tatu, ngombe elfu moja, punda dike mia tano, na watumishi wengi sana. Yeye alikuwa wa heshima kuliko watu wote kule upande wa mashariki.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ