Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 12:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Daudi alipowaona watumishi wake wananongonezana, akatambua kwamba mutoto wake amekufa. Kwa hiyo, akawauliza: “Mutoto amekufa?” Nao wakamujibu: “Ndiyo! Amekufa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 12:19
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nyuma ya juma moja, mutoto yule akakufa. Watumishi wa Daudi waliogopa kumwambia kwamba mutoto amekufa, maana walifikiri: “Mutoto yule alipokuwa angali muzima, tulizungumuza naye, lakini hakutusikiliza. Sasa, tutamwambia namna gani kama mutoto wake amekufa? Labda atajizuru.”


Kisha, Daudi akasimama, akaoga, akajipakaa mafuta na kubadilisha nguo zake. Halafu akaenda katika nyumba ya Yawe na kuabudu. Kisha akarudi kwake, akaamuru wamuletee chakula, naye akakula.


Nyuma ya mufalme Daudi kutulia kutokana na kifo cha Amunoni, alianza kutamani kumwona mwana wake Abusaloma.


Wandugu, hatutaki mukose kujua habari zinazowaelekea wale waliokufa, kusudi musikuwe na huzuni sawa vile watu wasiokuwa na tumaini la kufufuka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ