2 Samweli 12:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Nyuma ya juma moja, mutoto yule akakufa. Watumishi wa Daudi waliogopa kumwambia kwamba mutoto amekufa, maana walifikiri: “Mutoto yule alipokuwa angali muzima, tulizungumuza naye, lakini hakutusikiliza. Sasa, tutamwambia namna gani kama mutoto wake amekufa? Labda atajizuru.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |