Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 12:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Nyuma ya juma moja, mutoto yule akakufa. Watumishi wa Daudi waliogopa kumwambia kwamba mutoto amekufa, maana walifikiri: “Mutoto yule alipokuwa angali muzima, tulizungumuza naye, lakini hakutusikiliza. Sasa, tutamwambia namna gani kama mutoto wake amekufa? Labda atajizuru.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 12:18
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wazee wa nyumba yake walimufuata na kumusihi aamuke, lakini yeye alikataa, na hakukula chakula chochote pamoja nao.


Daudi alipowaona watumishi wake wananongonezana, akatambua kwamba mutoto wake amekufa. Kwa hiyo, akawauliza: “Mutoto amekufa?” Nao wakamujibu: “Ndiyo! Amekufa.”


Jinsi babu zetu walivyokwenda Misri, ambako tuliishi kwa muda murefu na jinsi Wamisri walivyowatesa babu zetu, wakatutesa na sisi vilevile.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ