Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 11:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Lakini Uria hakurudi kwake. Alilala pamoja na watumishi wote wa bwana wake kwenye mulango wa nyumba ya kifalme.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 11:9
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi aliposikia kwamba Uria hakwenda kwake, Daudi akamwuliza Uria: “Wewe umetoka safari, kwa nini haukuenda kwako?”


Daudi alimwalika Uria kula na kunywa kule kwake, akamulewesha Uria. Hata hivyo, usiku ule Uria hakwenda kwake, lakini alilala kwenye kilalio chake pamoja na watumishi wa bwana wake.


Pahali pa ngao hizo, mufalme Rehoboamu alitengeneza ngao za shaba na kuziweka chini ya ulinzi wa wachungaji wa mulango wa nyumba ya kifalme.


Kila wakati mufalme alipokwenda katika nyumba ya Yawe, walinzi walizibeba ngao hizo, na nyuma walizirudisha katika chumba cha ulinzi.


Hakuna hekima, ufahamu, wala shauri yoyote ya mutu, itakayoweza kupingana na Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ