Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Basi, Daudi akamutumia Yoabu ujumbe: “Umutume Uria wa Hiti kwangu.” Naye Yoabu akamutuma Uria kwa Daudi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 11:6
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ukitenda vyema hautakubaliwa? Na usipotenda vyema, basi, zambi inajificha kwa mulango; inakutamani, lakini unapaswa kuishinda.”


Mwanamuke yule akapata mimba, naye akatuma habari kwa Daudi kwamba yuko na mimba yake.


Uria alipofika kwake, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, watu wote, na hali ya vita.


na Uria wa inchi ya Wahiti. Wote pamoja walikuwa mashujaa makumi tatu na saba.


Anayeficha makosa yake hatafanikiwa, lakini anayeungama na kuyaacha atahurumiwa.


Bwana anasema: Watu hawa wanakuja kuniabudu kwa maneno tu, lakini mioyo yao iko mbali nami. Wananiheshimu kulingana na desturi ya watu tu, jambo walilojifunza wao wenyewe.


Lakini akakana mbele ya wote waliokuwa pale, akisema: “Sijui maneno unayotaka kusema.”


Lakini Petro akakana tena akaapa akisema: “Ninaapa ya kuwa simujui mutu huyu!”


Halafu Petro akaanza kusema: “Nilaaniwe ikiwa ninasema uongo! Ninaapa kwamba simujui mutu huyu!” Na mara moja jogoo akawika,


Saulo akajibu: “Nimefanya zambi. Hata hivyo, uniheshimishe sasa mbele ya wazee wa watu wangu na Waisraeli. Uniruhusu nirudi pamoja nawe kusudi nimwabudu Yawe, Mungu wako.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ