Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 11:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi, Daudi alituma wajumbe wamulete. Basi Batiseba akakuja kwa Daudi, naye Daudi akalala naye. Kisha akarudi kwake. Mwanamuke yule alikuwa akitoka kujitakasa kisha ugonjwa wake wa mwezi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 11:4
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Sekemu mwana wa Hamori Muhivi, aliyekuwa mukubwa wa inchi hiyo, alipomwona Dina, akamushika, akalala naye kwa nguvu.


Basi, nyuma ya muda fulani, muke wa Potifari akamutamani Yosefu na kumwambia: “Lala na mimi”.


Wewe ulifanya jambo hilo kwa siri, lakini mimi nitayafanya hayo mbele ya Waisraeli wote waziwazi.’ ”


Ukimwona mwizi, unajiunga naye, nawe unashirikiana na washerati.


Mwenendo wa mwanamuke mwasherati ni hivi: yeye anakula, anajipanguza mudomo, na kusema: “Sijafanya kosa lolote!”


Kama mwanaume akilala na mwanamuke na kutokwa na mbegu za uzazi, basi, ni lazima wote wawili waoge kwa maji, nao watakuwa wachafu mpaka magaribi.


Usilale na mwanamuke anapokuwa na ugonjwa wa mwezi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ