Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 11:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Muda wa kufunga kilio ulipokwisha, Daudi aliagiza wamulete Batiseba na kumupeleka katika nyumba yake. Batiseba akakuwa muke wa Daudi, naye akamuzalia Daudi mutoto mwanaume. Lakini jambo hilo Daudi alilofanya lilimuchukiza Yawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 11:27
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Tendo hilo likamwuzi Yawe, akamwua Onani vilevile.


Kwa nini basi, umezarau neno langu mimi Yawe na kufanya uovu huu mbele yangu? Umemwua Uria wa Hiti kwa upanga, ukamukamata muke wake kuwa muke wako. Umewatumia Waamoni kwa kumwua Uria katika vita!


Lakini ikiwa Yawe hapendezwi nami basi, mimi niko tayari; na anitendee sawa vile anavyotaka.”


Mara tu Ahabu aliposikia kwamba Naboti amekwisha kufa, akasimama na kwenda kulitwaa shamba la mizabibu la Naboti.


Basi, Ahabu alipomwona Elia, akasema: “Ewe adui yangu, umeninasa tena?” Elia akamujibu: “Ndiyo! Nimekunasa, kwa sababu wewe umekusudia kabisa kutenda maovu mbele ya Yawe.


Mungu hakupendezwa na jambo lile kwa hiyo akaazibu Waisraeli.


Wewe haupendi kuwaona wenye majivuno; wewe unawachukia wote wanaotenda maovu.


Ndivyo mwanaume anayelala na muke wa mwenzake anavyokuwa; yeyote anayemugusa mwanamuke yule hataacha kuazibiwa.


Ole kwenu ninyi munaomuficha Yawe mipango yenu, munaotenda matendo yenu katika giza na kusema: Hakuna atakayetuona; nani anayeweza kujua tunachofanya?


wanapomunyima mutu haki katika tribinali, basi, Yawe haoni hayo?


mwanaume huyo atamulipa baba wa binti huyo vikoroti makumi tano vya feza kwa sababu amemuchafua, na binti huyo atakuwa muke wake na hatamwacha maisha yake yote.


Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote, mume na muke wake wanapaswa kujikinga na uchafu, kwa sababu Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ