2 Samweli 11:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Daudi akamwambia yule mujumbe: “Utamwambia Yoabu hivi: ‘Jambo hili lisikusumbue maana upanga hauna macho, vita inaua haizuru nani. Lakini, imarisha mashambulizi juu ya muji, mpaka uangamize muji ule’. Ndivyo utakavyomutia Yoabu moyo.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini muangalie. Ikiwa gari hilo linakwenda moja kwa moja kuelekea inchi yake, ni kusema kwenye muji wa Beti-Semesi, basi, pale tutajua kwamba aliyetuletea pigo hili ni Mungu wa Israeli. Lakini kama haliendi kule, basi, tutajua kwamba sio mukono wake uliotupiga, lakini hasara hii imetupata kwa bahati mbaya.”