Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 11:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Daudi akamwambia yule mujumbe: “Utamwambia Yoabu hivi: ‘Jambo hili lisikusumbue maana upanga hauna macho, vita inaua haizuru nani. Lakini, imarisha mashambulizi juu ya muji, mpaka uangamize muji ule’. Ndivyo utakavyomutia Yoabu moyo.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 11:25
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu wakatupiga mishale sisi watumishi wako kutoka juu ya ukuta. Watumishi wako wamoja waliuawa. Hata mutumishi wako Uria wa Hiti, naye amekufa.”


Batiseba muke wa Uria aliposikia kwamba mume wake Uria amekufa, akafanya kilio kwa ajili yake.


Wakati ule, Yoabu aliushambulia Raba muji wa Waamoni, naye akauteka muji ule wa kifalme.


Lakini Waisraeli wakajipa moyo, wakajipanga tena kwa vita pahali pale walipojipanga kwa mara ya kwanza.


Lakini muangalie. Ikiwa gari hilo linakwenda moja kwa moja kuelekea inchi yake, ni kusema kwenye muji wa Beti-Semesi, basi, pale tutajua kwamba aliyetuletea pigo hili ni Mungu wa Israeli. Lakini kama haliendi kule, basi, tutajua kwamba sio mukono wake uliotupiga, lakini hasara hii imetupata kwa bahati mbaya.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ