Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 11:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Nani alimwua Abimeleki mwana wa Yerubeseti? Si alikuwa mwanamuke mumoja katika muji wa Tebesi ambaye alitupa jiwe la kusagia kutoka kwenye ukuta nalo likamwua Abimeleki? Kwa nini basi, mulikwenda karibu na ukuta?’ Basi, wewe utamwambia hivi: ‘Hata mutumishi wako Uria wa Hiti, naye amekufa.’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 11:21
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakaaji wa muji ule walitoka katika muji wao na kupigana na Yoabu. Watumishi wamoja wa Daudi, waliuawa. Uria wa Hiti naye aliuawa vilevile.


naye akikasirika na kukuuliza: ‘Kwa nini mulikwenda karibu na muji mulipokuwa munapigana? Hamukujua kwamba wangewapiga mishale kutoka kwenye kuta za muji wao?


Yule mujumbe alikwenda kwa Daudi na kumwambia yote ambayo aliyotumwa na Yoabu ayaseme.


Abeneri aliporudi Hebroni, Yoabu alimupeleka pembeni kwenye mulango sawa vile anataka kuzungumuza naye kwa siri. Hapo Yoabu akamukata Abeneri katika tumbo kwa sababu Abeneri alikuwa amemwua ndugu yake Asaeli, na Abeneri akakufa.


Mikono yako haikufungwa na miguu yako haikutiwa minyororo. Amekufa kama mutu aliyeuawa na waovu!” Na watu wote walimulilia tena.


Na sasa, ee Bwana, ninatazamia nini? Tumaini langu ni kwako wewe!


Wote kwa pamoja watakuambia: Nawe sasa umekuwa zaifu kama sisi! Umekuwa kama sisi wenyewe!


Siku hiyo wakamwita Gideoni “Yerubali” maana yake “Bali ajitetee”, maana aliibomoa mazabahu ya mungu Bali.


Yerubali, ni kusema Gideoni na watu wote waliokuwa pamoja naye wakaamuka mapema, wakapiga kambi yao katika bonde karibu na chemichemi ya Harodi. Kambi ya Wamidiani ilikuwa upande wao wa kaskazini katika bonde karibu na mulima More.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ