2 Samweli 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Siku moja, wakati wa magaribi, Daudi aliamuka toka katika kitanda, akaenda kwenye dari ya nyumba ya kifalme. Alipokuwa anatembea kule juu, alimwona mwanamuke mumoja akioga na mwanamuke yule alikuwa muzuri sana kwa umbo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |