19 Yoabu akamwamuru huyo mutumishi aliyemutuma hivi: “Kisha kumwelezea mufalme mambo yote juu ya vita,
Kisha, Yoabu alipeleka habari zote kwa Daudi akimwelezea juu ya vita.
naye akikasirika na kukuuliza: ‘Kwa nini mulikwenda karibu na muji mulipokuwa munapigana? Hamukujua kwamba wangewapiga mishale kutoka kwenye kuta za muji wao?