18 Kisha, Yoabu alipeleka habari zote kwa Daudi akimwelezea juu ya vita.
Wakaaji wa muji ule walitoka katika muji wao na kupigana na Yoabu. Watumishi wamoja wa Daudi, waliuawa. Uria wa Hiti naye aliuawa vilevile.
Yoabu akamwamuru huyo mutumishi aliyemutuma hivi: “Kisha kumwelezea mufalme mambo yote juu ya vita,
Kisha mutumishi mumoja akamwendea na kusema: “Vichwa vya wana wa mufalme vimekwisha kuletwa.” Halafu akaamuru: “Muviweke chini katika mafungu mawili kwenye mulango wa muji, muviache vikae kule mpaka asubui.”