2 Samweli 11:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
12 Kisha, Daudi akamwambia Uria: “Basi, ukae hapa leo tena, na kesho nitakuacha urudie.” Kwa hiyo Uria akabaki katika muji wa Yerusalema siku hiyo. Siku iliyofuata,
Daudi alimwalika Uria kula na kunywa kule kwake, akamulewesha Uria. Hata hivyo, usiku ule Uria hakwenda kwake, lakini alilala kwenye kilalio chake pamoja na watumishi wa bwana wake.