Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 10:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Walipata haya sana kurudia kwao. Daudi alipopashwa habari, alituma watu kwa kuwapokea maana wale wajumbe walipata haya sana. Naye mufalme aliwaambia: “Mukae katika muji wa Yeriko, hata mutakapoota ndevu, kisha murudi kwa nyumba.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 10:5
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Hanuni akawakamata wajumbe wale wa Daudi, akanyoa kila mumoja ngambo moja ya ndevu zake, akapasua nguo zao katikati mpaka kwenye matako, kisha akawaacha waende zao.


Waamoni walipoona kwamba wamemuchukiza Daudi, walijilipia waaskari wa miguu wa Waaramu elfu makumi mbili kutoka Beti-Rehobu na Zoba, waaskari elfu kumi na mbili kutoka Tobu, na mufalme Maka akiwa na waaskari elfu moja.


Wakati wa utawala wake, Hieli wa muji wa Beteli aliujenga upya muji wa Yeriko. Na sawa kabisa na neno Yawe alilosema kwa njia ya Yoshua mwana wa Nuni, Hieli alikufiwa na muzaliwa wake wa kwanza aliyeitwa Abiramu, wakati wa kuiweka misingi ya Yeriko. Akakufiwa vilevile na mwana wake mudogo aliyeitwa Segubu, wakati wa kuweka milango ya muji wa Yeriko.


nao wakaondoka na kurudi kwao. Daudi alipopashwa habari jinsi wajumbe wake walivyotendewa, akatuma watu kwa kuwapokea maana wale wajumbe waliona haya sana. Naye mufalme akawaambia: “Mukae katika muji wa Yeriko, mpaka mutakapoota ndevu, kisha murudi.”


Milango ya kuingilia katika muji wa Yeriko ilikuwa imefungwa imara kwa ndani kwa kuwazuia Waisraeli wasiingie. Hakuna mutu aliyeweza kuingia wala kutoka katika muji huo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ