Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi, Hanuni akawakamata wajumbe wale wa Daudi, akanyoa kila mumoja ngambo moja ya ndevu zake, akapasua nguo zao katikati mpaka kwenye matako, kisha akawaacha waende zao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 10:4
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walipata haya sana kurudia kwao. Daudi alipopashwa habari, alituma watu kwa kuwapokea maana wale wajumbe walipata haya sana. Naye mufalme aliwaambia: “Mukae katika muji wa Yeriko, hata mutakapoota ndevu, kisha murudi kwa nyumba.”


Watu wa Diboni wamepanda katika hekalu pahali pa juu kwa kuomboleza, watu wa Moabu wanalia kwa ajili ya Nebo na Medeba; vichwa vyote vimenyolewa upaa, ndevu zao zote zimekatwa kabisa.


Basi, mufalme wa Asuria atawapeleka Wamisri na Wakushi kuwa wafungwa, wakubwa kama vile wadogo. Watapelekwa, nao watatembea uchi na bila viatu, matako wazi. Misri ipate haya!


mbele hata mutu yeyote hajajua habari hizo, kulifika watu makumi nane kutoka Sekemu, Shilo na Samaria. Walikuwa wamenyoa ndevu zao na wamevaa nguo zilizotatuka na miili yao imechanjwachanjwa. Walileta sadaka ya ngano na ubani vitolewe katika nyumba ya Yawe.


Musikate kwa kiviringo nywele za pembeni ya kichwa wala kunyoa pembe za ndevu zenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ