Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 10:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Hadadezeri aliagiza Waaramu waliokuwa ngambo ya muto Furati waletwe, wapelekwe kule Helamu wakiongozwa na Sobaki, jemadari wa waaskari wa Hadadezeri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 10:16
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Waaramu walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, walijikusanya pamoja.


Daudi alipopata habari, aliwakusanya pamoja waaskari wote wa Israeli, akavuka muto Yordani na kwenda mpaka Helamu. Nao Waaramu walijipanga tayari kwa vita na Daudi, wakaanza kupigana naye.


Vilevile, Mungu alimufanya Resoni mwana wa Eliada, akuwe adui ya Solomono. Resoni alikuwa amemutoroka bwana wake, mufalme Hadadezeri wa Zoba.


Daudi akamushinda vilevile Hadadezeri mufalme wa Zoba, inchi iliyokuwa karibu na Hamati, alifanya hivyo wakati alipokuwa akienda kujisimamishia nguzo ya ukumbusho kwenye sehemu za muto Furati.


Nao Waaramu wa Damasiki, walipokwenda kumusaidia Hadadezeri mufalme wa Zoba, Daudi akawashambulia na kuwaua watu elfu makumi mbili na mbili.


Lakini Waaramu walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, wakatuma wajumbe waende kuwaleta Waaramu wengine waliokuwa ngambo ya muto Furati wakiongozwa na Sofaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ