Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 10:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Lakini Waaramu walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, walijikusanya pamoja.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 10:15
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Waamoni walipoona kwamba Waaramu wamekimbia, nao vilevile walimukimbia Abisayi na kuingia katika muji. Yoabu akaacha kupigana na Waamoni, akarudi Yerusalema.


Hadadezeri aliagiza Waaramu waliokuwa ngambo ya muto Furati waletwe, wapelekwe kule Helamu wakiongozwa na Sobaki, jemadari wa waaskari wa Hadadezeri.


Daudi vilevile alimushinda Hadadezeri mwana wa Rehobu, mufalme wa Zoba. Daudi alipata ushindi huu wakati Hadadezeri alipokuwa katika njia kwenda kulirudisha eneo la muto Furati kuwa chini ya utawala wake.


Kwa nini mataifa yanafanya fujo? Mbona watu wanafanya shauri la bure?


walizimisha moto mukali, waliponyoka kuuawa kwa upanga. Walikuwa wazaifu, lakini wakapata nguvu; walikuwa shujaa katika vita na kushinda majeshi ya kigeni.


Mufalme Yabini wa muji wa Hazori alipopata habari hizo, alipeleka ujumbe kwa mufalme Yobabu wa Madoni, kwa mufalme wa Simuroni na mufalme wa Akisafu,


Wafalme hawa wote wakaungana na kupiga kambi yao katika chemichemi ya Meromu kusudi wapigane na Waisraeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ