13 Basi, Yoabu na watu wake walisonga mbele kwenda kupigana na Waaramu, nao Waaramu walikimbia.
Nao Waaramu wa Damasiki walipokwenda kumusaidia Hadadezeri, mufalme wa Zoba, Daudi aliwashambulia na kuwaua watu elfu makumi mbili na mbili.
Mungu asimame sasa, na waadui zake watawanyike! Wanaomuchukia wakimbie mbali naye!