2 Samweli 10:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Wale waaskari wengine waliobaki aliwaweka chini ya uongozi wa ndugu yake Abisayi, naye akawapanga mbele ya Waamoni. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Daudi akatuma waaskari wake kwa vita katika vikundi vitatu: sehemu moja ya tatu ikiwa chini ya uongozi wa Yoabu, sehemu ingine ya tatu chini ya uongozi wa Abisayi mwana wa Zeruya, ndugu ya Yoabu; na sehemu ingine ya tatu chini ya uongozi wa Itayi wa muji wa Gati. Kisha mufalme Daudi akawaambia wote: “Mimi mwenyewe vilevile nitakwenda pamoja nanyi.”