Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 10:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Wale waaskari wengine waliobaki aliwaweka chini ya uongozi wa ndugu yake Abisayi, naye akawapanga mbele ya Waamoni.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 10:10
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yoabu akamwambia Abisayi: “Ikiwa Waaramu wananishinda nguvu, utanisaidia lakini kama Waamoni wanakushinda nguvu, nitakuja kukusaidia.


Yoabu alipoona kwamba ilimupasa kupigana kwa upande wa mbele na nyuma, alichagua waaskari wamoja Waisraeli hodari zaidi, akawapanga mbele ya Waaramu.


Daudi akatuma waaskari wake kwa vita katika vikundi vitatu: sehemu moja ya tatu ikiwa chini ya uongozi wa Yoabu, sehemu ingine ya tatu chini ya uongozi wa Abisayi mwana wa Zeruya, ndugu ya Yoabu; na sehemu ingine ya tatu chini ya uongozi wa Itayi wa muji wa Gati. Kisha mufalme Daudi akawaambia wote: “Mimi mwenyewe vilevile nitakwenda pamoja nanyi.”


Abisayi mwana wa Zeruya na ndugu ya Yoabu alikuwa mukubwa wa mashujaa makumi tatu. Yeye alipigana kwa mukuki wake na watu mia tatu, akawaua, akajipatia sifa pamoja na wale mashujaa watatu.


Abisai mwana wa Zeruya, akaua Waedomu elfu kumi na nane katika Bonde la Chumvi.


Nyuma ya hayo, Nahasi mufalme wa Waamoni akakufa, na mwana wake Hanuni akatawala kwa pahali pake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ