Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Daudi akamwambia: “Uniambie jinsi mambo yalivyokuwa kule.” Yule mutu akamujibu: “Watu wetu wameyakimbia mapigano na wengi kati yetu wameuawa. Zaidi ya hayo, Saulo na mwana wake Yonatani vile vile wameuawa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 1:4
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi akamwambia: “Unatoka wapi?” Naye akamwambia: “Nimetoroka kutoka katika kambi ya Waisraeli.”


Daudi akamwuliza yule kijana: “Unajua namna gani kwamba Saulo na mwana wake Yonatani wamekufa?”


Yule mutu aliyekuja kuniambia kwamba Saulo amekufa, akizani kwamba ananiletea habari njema, nilimukamata na kumwua kule. Hivyo ikakuwa ndiyo zawadi niliyomupa kutokana na habari yake.


Yule mutu akamwambia Eli: “Mimi nimetoka kwenye vita; nimekimbia kutoka katika vita leo.” Eli akamwuliza: “Mwana wangu, mambo yalikuwa namna gani kule?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ