2 Samweli 1:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
26 Ninasikitika kwa ajili yako, ndugu yangu Yonatani. Umekuwa kwangu mutu wa kupendeza siku zote. Pendo lako kwangu limekuwa la ajabu, la ajabu kuliko la mwanamuke.
Kwa mara ingine tena, Yonatani alimwambia Daudi aape kulingana na upendo wake kwake yeye Yonatani, maana alimupenda Daudi kama vile anavyojipenda yeye mwenyewe.
Yule kijana alipokwisha kuondoka, Daudi akasimama na kutoka pahali alipojificha karibu na lundo la mawe. Aliinama chini kwa heshima mara tatu mbele ya Yonatani. Wote wawili, Daudi na Yonatani, wakakumbatiana na kulia. Daudi alikuwa na uchungu zaidi kuliko Yonatani.