Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 1:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Enyi milima ya Gilboa, musikuwe na umande au mvua juu yenu. Wala mashamba yenu yasitoe chochote siku zote. Maana kule ngao za shujaa zilichafuliwa, ngao ya Saulo haikupakaliwa mafuta.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 1:21
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku moja, Wafilistini wakapigana vita na Waisraeli; nao Waisraeli wakakimbia mbele ya Wafilistini na kuuawa katika mulima wa Gilboa.


Kesho yake, Wafilistini walipokwenda kutwaa vitu vya wale waliouawa, wakakuta maiti ya Saulo na wana wake kwenye mulima Gilboa.


Shingo yako ni kama munara wa Daudi, uliojengwa kwa kulinda silaha, ambako ngao elfu moja zimetundikwa, zote zikiwa za mashujaa.


Chakula kimetayarishwa, mikeka zimetandikwa, sasa watu wanakula na kunywa. Kwa rafla, sauti inasikilika: Musimame enyi watawala! Muweke silaha tayari!


Nitalifanya ukiwa kabisa, mizabibu yake haitasafishwa matawi wala kupaliliwa. Litaota michongoma na miiba. Tena nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.


Kwa hiyo Bwana wetu Yawe anasema hivi: Siku ileile muti wa mwerezi ulipofika katika kuzimu nilitandaza giza nene juu yake, nikaufunika; mito yake niliikausha na mutiririko wa maji yake mengi nikaukomesha. Nayo Lebanoni niliiweka katika giza kwa ajili yake, na miti yote katika pori ikazimia kwa ajili yake.


Sadaka za vyakula na za kinywaji zimetoweka katika nyumba ya Yawe. Makuhani, watumishi wa Yawe, wanaomboleza.


Labda Yawe, Mungu wenu, atabadilisha nia na kuwapa baraka ya mazao, mutaweza kumutolea sadaka za chakula na kinywaji.


Malaika wa Yawe anasema hivi: ‘Ulaani muji wa Merosi, uwalaani vikali wakaaji wake; maana hawakukuja kumusaidia Yawe hawakumusaidia Yawe juu ya wenye nguvu’.


Halafu Samweli akatwaa chupa ndogo ya mafuta akamumiminia Saulo juu ya kichwa, akamubusu na kumwambia: “Yawe amekutia mafuta ukuwe mutawala juu ya watu wake.


Basi, Wafilistini walipigana vita na Waisraeli; nao Waisraeli walikimbia mbele ya Wafilistini, na kuuawa katika mulima Gilboa.


Kesho yake, Wafilistini walipokwenda kutwaa vitu vya wale waliouawa, waliikuta maiti ya Saulo na wana wake kwenye mulima Gilboa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ